MARUFUKU KUMILIKI LAINI MBILI ZA SIMU BURUNDI
Burundi imepiga marufuku umiliki wa laini mbili za simu kutoka kwa kampuni moja inayotoa huduma za mwasiliano ya simu.
Idhaa moja ya redio ya Bonesha FM imeripoti kuwa imepata taarifa hiyo kutoka kwa wizara ya fedha.
Machafuko nchini humo yalianza mwezi Aprili mwaka
uliopita baada ya rais Pierre Nkurunziza kutangaza nia ya kuwania muhula
wa tatu.
Kampuni
hizo zitalazimika kusajili wamiliki wote wa laini za simu la sivyo
wataadhibiwa na faini ya takriban dola $3,000 kwa kila laini ambayo
itatumiwa pasi na kusajiliwa.
Sheria hii mpya imewekwa baada kutokea machafuko ya kisasa kwa takriban mwaka mooja sasa.
Kampuni hizo zitalazimika kusajili wamiliki wote wa
laini za simu la sivyo wataadhibiwa na faini ya takriban dola $3,000
kwa kila laini ambayo itatumiwa pasi na kusajiliwa.
Wapinzani wake wanasema kuwa hatua hiyo ya Nkurunziza
inakiuka katiba ya taifa inayomzuia rais kuongoza kwa zaidi ya miaka 10
ama mihula miwili.
Nigeria iliiadhibu kampuni ya mawasiliano ya
MTN faini ya dola bilioni 5.2 kwa kuendelea kuruhusu utumizi wa simu
ambazo hazijasajiliwa.
Category:
0 comments