Takwimu mpya kutoka
Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa watu 474 wamekwishauawa nchini
Burundi tangu mwezi Aprili mwaka jana, wakati mzozo ulipoibuka kufuatia
uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza wa kuwania muhula wa tatu madarakani.
Wataalam watoa matokeo ya uchunguzi kutokana na ziara waliyoifanya
nchini Burund mapema mwezi huu mbele ya Braza la Usalama la Umoja wa
Mataifa mjini Geneva. Serikali ya Burundi inasema mauaji yalitekelezwa na waasi
Lakini kiongozi wa shirika la haki za binadamu la Burundi amesema kuwa idadi ya waliouawa inazidi watu 600.
Muakilishi wa serikali ya Burundia amesema kuwa mauji yalitekelezwa na waasi. Mauji dhidi ya viongozi wa kijeshi yamekua yakitekelezwa kwenye maeneo ya mji wa Bujumbura
Jumanne, afisa wa ngazi ya juu wa kijeshi na mshirika wa rais alipigwa risasi na kuuawa kwenye ofisi ya wizara ya ulinzi.
Meja mwingine ameripotiwa kupigwa risasi na kuuawa usiku wa kuamkia leo
alipokua akiondoka kwenye baa katikati mwa mji mkuu, Bujumbura.
Category:
About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!
Related posts:
If you enjoyed this article, subscribe to receive more just like it.
0 comments