ZANZIBAR YATAFUTA UANACHAMA WA FIFA
Rais wa shirikisho la mpira nchini Tanzania (TFF) Jamal Malinzi, amethibitisha juhudi mpya za Zanzibar kuwa mwanachama wa Fifa. Zanzibar, ambayo ni sehemu...
TRUMP AONYESHA MSIMAMO WAKE JUU YA KOREA KASKAZINI
Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionMitambo ya Marekani ya kujikinga nchini Korea Kusini Marekani imeahidi kuimarisha uwezo wake wa kijeshi ili kukinga washirika wake...
MORINHO AJITAPA KUHUSU LUKE SHAW BAADA YA KUIBUKA 1-1
Meneja wa timu ya Manchester United Jose Mourinho amesema kuwa Luke Shaw alitumia mwili wake lakini ubongo wa Mourinho wakati wa mechi kati...
BARCELONA YAIBUKA KIDEDEA UGENINI KWA GOLI 3-0
Haki milikiGES Suarez akiwa na Messi wakishangilia ushindi Image caption Wababe wa soka ya nchini Hispania,Real Madrid na Barcelona wameendelea kuendeleza kichapo na kujiwekea nafasi...
CHELSEA YAIFUNGA MAN CITY MBILI MOJA HUKU ARSENAL NAE AKIIBUKA KIDEDEA ZIDI YA WEST HAM
Eden Hazard akitia kimiyani goli la kwanza la Chelsea Image capti Hapo jana nyasi ziliendelea kupamba moto baada ya timu mbali mbali kutimua...
MAGARI YASIO NA DEREVA YAANZA KUFANYA KAZI UK
Katika kipindi cha majuma matatu yanayokuja karibu watu 100 wataanza kutumia magari hayo katika eneo la Greenwwich mjini London. Magari hayo ambayo husafiri...
RAIS MSTAAFU WA ARGENTINA AKUMBWA NA MASHTAKA MAPYA
Jaji mmoja nchini Argentina amemfungulia aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Cristina Fernandez de Kirchner na wanawe wawili mashtaka ya ubadhirifu wa fedha, na...
CLAB YAFUNGIWA TUNISIA KWAKUPIGA MZIKI WENYE ADHANA NDANI YAKE
Imekuwa desturi mbaya kukebei na kuleta dharau katika maswala ya kiimani haswa kwenye mitandao ya kijamii.Klabu moja imejikuta ikiingia matatizoni na kufungiwa kwa...
BEI YA MAFUTA YA DISEL, MAFUTA YA TAA KUPANDA ,PETROL KUSHUKA KWA SHILLINGI 3 TANZANIA
Akitangaza bei hizo leo Meneja wa Mawasiliano wa Ewura nchini Tanzania , Titus Kaguo aliwaambia wanahabari kuwa petroli imeshuka kwa Sh 3 na...
KUMI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA YA KUZAMA KWA CHOMBO CHAO CHA USAFIRI ZANZIBAR
Baada ya habari ya msichana wa miaka 16 kujirusha baharini kutoka kwenye boti ya abiria iliokuwa ikifanya safari zake kutoka Dar es salaam...
PICHA YA NYWELE ZA ASILI ZA MKE WA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI MICHELLE OBAMA ZAZUA GUMZO MITANDAONI
Haki miliki ya pichImage captionPicha ya nywele asilia za bi Michelle Obama Picha iliomuonyesha mke wa aliyekuwa rais wa Marekani Barrack Obama akiwa...
KOREA KASKAZINI YA RUSHA KOMBORA LINGINE ,JAPAN WAJA JUU
HakES ImaJapan imeijibu vikali Korea Kaskazini kufuatia nchi hiyo kufyatua kombora jingine hivi karibuni na kutaja hilo ni tatizo kubwa lililopindukia. Katika Mji...
AFRIKA KUSINI :WAFANYAKAZI WAANDAMANA KUMSHINIKIZA RAIS JACOB ZUMA KUJIUZULU
Chama kikubwa cha wafanyikazi nchini Afrika Kusini, Cosatu kimeunga mkono kauli ya wale wanaomtaka rais Jacob Zuma kujiuzulu. Japo Cosatu kinajulikana kuunga mkono...
SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA AMUAPISHA MKE WA RAIS MSTAAFU BUNGENI LEO
Haki miliki ya pichaEImage captionSalma Kikwete mke wa Rais mstaafu wa awamu ya nne wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete.Spika wa bunge la Jamhuri...
COLOMBIA:RAIS NCHINI HUMO ATANGAZA HALI YA TAHADHARI
Haki miliki ya pichaAFPImage captJuan Manuel Santos amesema serikali inakusanya $ milioni 13.9 zitakazosaidia kukabiliana an masuala ya kibinaadamu. Juan Manuel Santos amesema...