.

.

ZANTEL YATOA MSAADA WA KOMPYUTA KWENYE KITUO CHA MKUBWA FELLA

ZePLAN | 00:45:00 | 0 comments

zan1

Mtendaji Mkuu wa kampuni inayotoa huduma za simu Benoit Janin wa pili kutoka kushoto akiongea na wanahabari hawapo pichani katika hafla ya kuwakabidhi msaada wa kompyuta tatu kituo cha Mkubwa Fella. Wa pili kutoka kulia ni Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Sanaa Wizara ya Habari. Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Leah Kihimbi Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo 

zan2

Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Sanaa Wizara ya Habari. Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Leah Kihimbi wa pili kutoa kushoto akikabidhi msaada wa Kompyuta tatu kwa wawakilishi wa Mkubwa Fella wa kwanza kulia ni Bw. Yusuph Chambuso.

zan3

Baadhi ya wasanii wa kikundi cha Yamoto Bendi wakionyesha umahiri wao wa kuimba mbele ya wanahabari wakati wa hafla ya kukabidhiwa msaada wa kompyuta tatu kwa kikundi cha Mkubwa Fella iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments