.

.

ALIEKUWA KIONGOZI WA KIJESHI WA PAKISTANI BWANA PERVEZ AWASILI DUBAI KWA AJILI YA ATIBABU

ZePLAN | 00:41:00 | 0 comments


 
Aliyekuwa kiongozi wa kijeshi nchini Pakistan Pervez Musharaf amewasili mjini Dubai kupata matibabu baada ya serikali kumuondolea marufuku ya usafiri aliyowekewa mwaka 2013.

Bwana Musharaf anakabiliwa na mashtaka kadhaa ikiwemo uhaini wa kukiuka katiba na kutangaza hali ya hatari mwaka 2007.

Aliondoka madarakani mwaka mmoja baada ya utawala wake kukabilia na upinzani mkali. kuondolewa kwa vikwazo hivyo ni kama pigo kwa waziri mkuu Naawaz Sharif ambaye aliahidi kumuwajibisha Musharraf kutokana na vitendo vyake vilivyokuwa kinyume na sheria.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments