NYUMBA YA KIOGOZI WA MASHIA KASKAZINI MWA NIGERIA YAZINGIRWA NA WANAJESHI WA NCHI HIYO.
Kundi moja la Waislamu Washia
Kaskazini mwa Nigeria wanasema kuwa wanajeshi wamezingira makaazi ya
kiongozi wao kufuatia mapigano ya jana ambapo watu kadhaa walifariki.
Kulingana
na kundi la Islamic Movement of Nigeria, wanajeshi na vifaru vilitumika
kushambulia makaazi ya Ibrahim Zakzaky katika mji wa Zaria, jimbo la
Kaduna.Kundi hilo lilisema wafuasi wake watano waliuawa.
Kundi hilo limakanusha madai hayo.
Category:

0 comments