.

.

DAVID KAFULILA AZUA GUMZO MITANDAO YA KIJAMII NI BAADA YA KUWEKA PICHA AKIWA NA MTOTO WAKE

ZePLAN | 00:43:00 | 0 comments

Kama ukipitia mitandao ya kijamii ikiwemo Facebook, Twiter na makundi ya WhatsApp  unaweza kukuta mijadala mbalimbali wakijadili hatua kwa hatua namna ya uongozi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Pombe Magufuli na staili ya “Hapa Kazi Tu!”.. Lakini kwa aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila yeye tokea kuweka kwa picha yake akiwa nyumbani kwake analea mtoto wake mdogo, picha hiyo imekuwa gumzo ambapo kila mtu amekuwa akichangia neno analolijua yeye.

Hata hivyo, kwa hatua hiyo bado inamweka Kafulila kuwa ni baba  bora na anayejari familia, licha ya maneno mengi ya wapinzani wake hivyo pia kila aliye baba na mtoto, anao wajibu na haki ya kukaa na mtoto wake kufurahia kama David Kafulila.
Kafulila

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments