DIAMOND KUMTAMBULISHA MSANII MPYA KATIKA KUNDI LAO LA WCB JUMATANO HII
Kundi
la Wasafi Classic (WCB) lililo chini ya NYOTA DIAMOND PLATINUM
linataraji kumtambulisha msanii mpya katika kundi hilo Jumatano ya wiki
hii Machi, 16.
Taarifa
ya utambulisho huo ilitolewa na Diamond kupitia akaunti yake ya Twitter
ambapo aliandika “Panapo Majaaliwa Jumatano Hii Wcb_Wasafi
tutamtambulisha rasmi Kijana Mwingine Mpya…tafadhali wadau tunaomba sana
Support zenu…” ameandika katika ukurasa wake wa twitter
Category:
0 comments