.

.

CHELSEA YAIFUNGA MAN CITY MBILI MOJA HUKU ARSENAL NAE AKIIBUKA KIDEDEA ZIDI YA WEST HAM

ZePLAN | 01:04:00 | 0 comments

EPL
Eden Hazard akitia kimiyani goli la kwanza la Chelsea
Image capti
Hapo jana nyasi ziliendelea kupamba moto baada ya timu mbali mbali kutimua moto katika viwanja mbalimbali huko Ulaya.
Chelsea ambao walikutana na Man city waliweza kuisambaratisha Man city kwa kifurushi cha  mabao mawili kupitia winga wao mahiri Eden Hazard, huku bao la Man City la kufutia machozi likifungwa na Sergio Aguero .
Hazard scored on the rebound from his missed penalty
Arsenal wakicheza katika uwanja wao wa Emirate waliwachapa West Ham kwa mabao 3-0 na hivyo Arsenal kurejea katika nafasi ya tano.
EPL
 Theo Walcot na Mesut Ozil wakishangilia goli
Haki miliki ya p
Image captionLiverpool wakashindwa kuutumia vyema uwanja wa nyumbani baada ya kukubalia sare ya mabao ya 2-2 na AFC Bournemouth, Hull City wao wakashinda kwa mabao 4-2 dhidi ya Middlesbrough.
Tottenham Hotspur wakicheza ugenini katika uwanja wa Libery walitoka kidedea kwa ushindi wa  mabao 3-1 dhidi ya Swansea City, Southampton wakashinda kwa 3 - 1 dhidi ya Crystal Palace.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments