IFIKAPO 2020 CHINA JUU YA UFAKARA MAJIBU
Shirika la habari la taifa la
Uchina, linasema kuwa viongozi wanamaliza mkutano wa siku mbili kuhusu
namna ya kuondosha umaskini, ifikiapo mwaka wa 2020.
Uchumi wa
Uchina umekuwa haraka katika miongo mitatu iliyopita, na kuwatoa
mamilioni ya watu kwenye umaskini, yaani pato la chini ya dola moja kwa
siku.Lakini watu zaidi ya milioni 70 wa mashambani, bado ni maskini.
Baadhi ya sera za kumaliza umaskini, ni kujenga miji haraka, na kutoa mikopo kwa wakulima wawe wajasiria mali.
Wachambuzi wanasema, kupunguza tofauti kubwa baina ya matajiri na maskini inaonekana kuwa njia ya kuendeleza utulivu.
Category:
0 comments