Mcheza filamu Matthew Perry na waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau, wamesema kuwa huenda wakapimana nguvu baada ya bwana Tradeau kutaka pigano lilofanyika shuleni miaka 35 iliyopita kurudiwa.Kwenye mtandao wa Twitter tarehe mosi mwezi Aprili, ulikuja baada ya bwana Petty kukiri kuwa wakati mmoja alimtandika bwana Trudeau.
Haki mili
Perry aliakiambia kituo kimoja cha runinga cha Marekani kuwa wote walikuwa shule moja ya msingi huko Ottawa, wakati yeye na rafiki wake waliamua kumpiga kijana huyo mdogo.
"Nafikiri alikuwa mtoto peke yake ambaye nilikuwa na uwezo kumpiga," Perry alieleza.
Mambo hata hivyo yamebadilika miaka iliyopita. Perry amekuwa mmoja wa watu maarufu katika sekta ya filamu duniani.
Naye bawana Trudeau ambaye anataja ndondi kama mchezo anaoupenda amefuata nyayo za babake na kuwa waziri mkuu wa Canada.
Category:
About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!
Related posts:
If you enjoyed this article, subscribe to receive more just like it.
0 comments