.

.

CANADA:WAZIRI MKUU NCHINI HUMO KUPIGANA MASUMBWI NA MCHEZA FILAMU

ZePLAN | 00:32:00 | 0 comments

Image result for Justin TrudeauMcheza filamu Matthew Perry na waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau, wamesema kuwa huenda wakapimana nguvu baada ya bwana Tradeau kutaka pigano lilofanyika shuleni miaka 35 iliyopita kurudiwa.Kwenye mtandao wa  Twitter tarehe mosi mwezi Aprili, ulikuja baada ya bwana Petty kukiri kuwa wakati mmoja alimtandika bwana Trudeau.

Ujumbe kutoka kwa Justin TrudeauHaki mili

Perry aliakiambia kituo kimoja cha runinga cha Marekani kuwa wote walikuwa shule moja ya msingi huko Ottawa, wakati yeye na rafiki wake waliamua kumpiga kijana huyo mdogo.
Image result for justin trudeau tattoo
"Nafikiri alikuwa mtoto peke yake ambaye nilikuwa na uwezo kumpiga," Perry alieleza.
Mambo hata hivyo yamebadilika miaka iliyopita. Perry amekuwa mmoja wa watu maarufu katika sekta ya filamu duniani.
Image result for justin trudeau tattoo
Naye bawana Trudeau ambaye anataja ndondi kama mchezo anaoupenda amefuata nyayo za babake na kuwa waziri mkuu wa Canada.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments