.

.

WAKIMBIZI WA SYRIA WAPATA HIFADHI CANADA

ZePLAN | 01:18:00 | 0 comments





Ndege ya kwanza ya kijeshi iliyowabeba wakimbizi kutoka Syria ambao wamepewa hifadhi nchini Canada, kufuatia mapigano yanayoendelea nchini humo, imetua katika mji mkuu wa nchi hiyo wa Toronto.

Watu 163 kutoka Syria, walikaribishwa katika uwanja huo wa ndege na Waziri Mkuu, Justin Trudeau.

Serikali ya Bwana Trudeau, ilichaguliwa mwezi Oktoba na kukubali kuchukua wakimbizi 25,000 kutoa syria ifikapo mwishoni ma mwaka huu.

Kufuatia mashambulizi yaliyotokea mjini Paris, ilibadili mpango wake na wengine wanatarajiwa kuwasili mapema mwaka ujao.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments