WAKIMBIZI WA SYRIA WAPATA HIFADHI CANADA
Ndege ya kwanza ya kijeshi
iliyowabeba wakimbizi kutoka Syria ambao wamepewa hifadhi nchini Canada,
kufuatia mapigano yanayoendelea nchini humo, imetua katika mji mkuu wa
nchi hiyo wa Toronto.
Serikali ya Bwana Trudeau, ilichaguliwa mwezi Oktoba na kukubali kuchukua wakimbizi 25,000 kutoa syria ifikapo mwishoni ma mwaka huu.
Kufuatia mashambulizi yaliyotokea mjini Paris, ilibadili mpango wake na wengine wanatarajiwa kuwasili mapema mwaka ujao.
Category:
0 comments