.

.

WANAWAKE MAREKANI KURUHUSIWA KUINGIA VITANI

ZePLAN | 04:47:00 | 0 comments

                         

                    Waziri wa Ulinzi wa Marekani Ash Carter 
               
Waziri wa Ulinzi wa Marekani Ash Carter ametangaza kuwa nafasi zote za kazi za kijeshi za kivita sasa zitakuwa wazi pia kwa wanawake wa Marekani.
Carter amesema huduma za kijeshi za Marekani hazitaweza tena kupunguza nusu ya watu wenye ujuzi na vipaji.
Amesema wanawake sasa wanaweza kuendesha magari ya deraya, mizinga na kuongoza askari wa nchi kavu kwenye mapambano.
Mpango huo wa kiistoria unakwenda kinyume na hoja ya mwenyekiti wa Umoja wa Wakuu wa majeshi kwamba Kikosi cha askari wa majini wanaweza kuruhusiwa kuwatenga wanawake katika baadhi ya majukumu kwenye mapambano ya mstari mbele vitani.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments