NI MPANGO WA MUNGU LULU ANENA
Mshindi
wa tuzo ya Best Movie-East Africa, Elizabeth Michael ‘Lulu’ alieleza
hayo mara tu baada ya kutua Dar-es-salaam akitokea Lagos Nigeria na tuzo
yake.
‘’Kila
kitu ambacho kinatokea sasa hivi nakiweka ‘in a way’ zaidi ya mpango wa
Mwenyezi Mungu nisingepitia ambavyo nimepitia katika maisha yangu
nisingeenda Africa Magic ,ningekuwa labda nimeshakufa au nimeshaacha
kuigiza labda nisingekuwa na moyo huu wa kuendelea kukomaa,matatizo
niliyopitia ndio yamenifanya niwe na moyo wa kuendelea kufanya kazi
na kuwathibitishia watu kuwa walichokuwa wakikifikiria kwangu ni
tofauti’’ Alisema Lulu.
‘’Mungu
ameweka kitu hiki ndani yangu,’problem’ ningekuwa na ‘flat life’
ningezoeleka kama msanii wa kawaida nacheza movie moja naacha nacheza ya
pili,ya tatu naacha,nadhani hii njia yangu ambayo Mungu alikuwa
amenitengenezea na sijui pengine nina mengi kiasi gani mbele ambayo
ninakutana nayo’’Aliongeza Lulu.
Category:
0 comments