Kiongozi wa Korea
Kaskazini, Kim Jong-Un ameamrisha majaribio zaidi ya kinyukilia
yakitumia mabomu yasiyokuwa na nguvu, ambayo anasema wanasayansi wa nchi
yake wametengeneza.
Shirika la utangazaji nchini limetangaza
kwamba Kim alitoa amri hiyo baada ya kushuhudia uzinduzi wa makombora
mengine hapo Alhamisi.
Awali kiongozi huyo alisema wanasayansi wa
nchi yake wamefanikiwa kupunguza ukubwa na mabomu ili yaweze kuwekwa
kwenye makombora. Waandishi wa habari wamesema ikiwa hili
litathibitishwa, hii itakua tishio kubwa kwa Korea Kusini na nchi
nyingine zilizoko kwenye kanda hiyo.
Category:
About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!
Related posts:
If you enjoyed this article, subscribe to receive more just like it.
0 comments