.

.

WAZIRI UMMY MWALIMU AKUTANA NA MABALOZI WA UJERUMANI NA IRELAND WALIOPO NCHINI

ZePLAN | 03:04:00 | 0 comments

Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia ,Wazee na Watoto,Ummy Ally Mwalimu  mapema leo amekutana na Mabalozi waliopo nchini pamoja na ujumbe wao waliomtembelea ofisini kwake Wizarani jijini Dar es Salaam.

Mabalozi hao waliokutana na Waziri Ummy ni pamoja na  Balozi wa Ujerumani nchin, Bw. Egon Kochanke  aliyeambatana na Ujumbe wake.  Balozi mwingine ni Balozi wa Ireland nchini Fionnuala Gilsennan.

tumbizxsWaziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (kulia kwa waziri)  akimsikiliza  Balozi wa Ujerumani nchini, Bw. Egon Kochanke (Katikati) wakati alipomtembelea ofisini kwake leo.

UmyWaziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu  akimsikiliza Balozi wa Ireland nchini, Bi. Fionnuala Gilsennan (kulia kwa waziri wakati alipomtembelea ofisini kwake leo. Wengine ni baadhi ya maofisa wa ubalozi huo.

ummiiWaziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (kulia kwa waziri)  akimsikiliza  Balozi wa Ujerumani nchini, Bw. Egon Kochanke (Katikati) wakati alipomtembelea ofisini kwake leo. Wengine ni baadhi ya maofisa wa ubalozi huo.

ummiBaadhi ya ujumbe wa ubalozi wa Ireland ukisalimiana na Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia ,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments