MORINHO AJITAPA KUHUSU LUKE SHAW BAADA YA KUIBUKA 1-1
Shaw mwenye miaka 21, alicheza mara ya kwanza tangu Januari na ilikuwa penalty iliyotokana na mkwaju wake ambapo Zlatan Ibrahimovic alisawazisha.

"Alikuwa mbele yangu na nilikuwa nikimfanyia kila uamuzi" Mourninho alieleza
Shaw ndiye alikuwa mchezaji mdogo pekee kutoka Manchester aliyetengwa kando na Mourinho baada ya United ilitoka bao sare kwa mara ya tisa nyumbani katika ligi msimu huu.

United ilimshukuru Ibrahimovic tena kwa penalty aliyoufunga iliyosaidia United kupata alama moja na kuiweka United nambari tano kwa jedwali.
Category:
0 comments