.

.

MORINHO AJITAPA KUHUSU LUKE SHAW BAADA YA KUIBUKA 1-1

ZePLAN | 01:33:00 | 0 comments

Manchester United have improved under Jose Mourinho, says Phil Thompson Meneja wa timu ya Manchester United Jose Mourinho amesema kuwa Luke Shaw alitumia mwili wake lakini ubongo wa Mourinho wakati wa mechi kati ya Manchester United na Everton, ambayo ilisha kwa sare ya 1-1.
Image result for man utd
Shaw mwenye miaka 21, alicheza mara ya kwanza tangu Januari na ilikuwa penalty iliyotokana na mkwaju wake ambapo Zlatan Ibrahimovic alisawazisha.
Luke Shaw
"Alikuwa mbele yangu na nilikuwa nikimfanyia kila uamuzi" Mourninho alieleza




Shaw ndiye alikuwa mchezaji mdogo pekee kutoka Manchester aliyetengwa kando na Mourinho baada ya United ilitoka bao sare kwa mara ya tisa nyumbani katika ligi msimu huu.Zlatan Ibrahimovic
United ilimshukuru Ibrahimovic tena kwa penalty aliyoufunga iliyosaidia United kupata alama moja na kuiweka United nambari tano kwa jedwali.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments