.

.

WATU 254 WAPOTEZA MAISHA COLOMBIA

ZePLAN | 00:39:00 | 0 comments

Soldiers have been deployed to help local families
Zoezi la uokoaji likiwa linaendelea 
Watu 254 wanaelezwa kupoteza maisha kwenye tukio hilo baya siku ya ijumaa Dimitri O' Donnell ni mwandishi wa Habari katika mji mkuu wa nchi hiyo, Bogota
Lorries and trucks were thrown into the side of buildings by the force of the water
'' Katika kipindi cha saa tatu , asilimia 30 ya mvua ambayo hunyesha mjini Mocoa, kwa mwezi ilinyesha kwa saa hizo tatu, kiasi ambacho kingenyesha kwa siku takriban 10, kwa hiyo ilikua mvua ya kumshtua kila mtu''
Rais wa Colombia Juan Manuel Santos ambaye anautembelea mji wa Mocoa kwa siku mbili sasa amesema zaidi zaidi ya watu 200 wamebainika kupoteza maisha, miongoni mwao watoto 44. idadi zaidi ya waliopoteza maisha inatarajiwa kuongezeka kwa kuwa bado watu takriban 300 bado hawajulikani walipo.
Rescuers seek people among the rubble left by mudslides following heavy rains in Mocoa, Putumayo department, southern Colombia on April 1, 2017.
Mwanabaiolojia Carolina Pardo kutoka chuo kikuu cha El Rosario mjini Bogota,amezungumza na  amesema matumizi mabaya ya ardhi yamesababisha mmomonyoko wa udongo uliosababisha maporomoko ya ardhi.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments