BI HILARRY CLINTON AMKASHIFU DONALD TRUMP NI KUHUSU WAISLAM
Picha juu Bi.Hilarry Clinton
Mgombea wa urais kupitia chama cha Democratic, nchini Marekani, Bi. Hilarry Clinton amemkashifu mgombea wa chama cha Republican, Donald Trump na kumuita kuwa mtu hatari.
Kwa upande wake Trump aliuambia mkutano mmoja kuwa watu wengi wanaamini kuwa aliyoyasema ni mazuri.
Picha juu Donald Trump
Nchini Uingereza wito kwa njia ya mtandao ya kulitaka bunge la nchi hiyo kumzuia Trump kuingia nchini Uingereza umepata uungwaji mkono wa watu nusu milioni.
Category:
0 comments