Mzoga wa nyangumi umepatikana ufukweni nje ya mji Capetown Afrika Kusini.
Mzoga huo unaaminika kusombwa na maji ya bahari na kukwama kwenye mwamba.
Haijabainika kilichosababisha kifo cha nyangumi huyo.
Taarifa zinasema
kuwa maafisa wa afya wa umma wametangaza kuwa ufukwe huo utafungwa kwa
umma leo, ilikufanikisha shughuli ya kuondoa mzoga huo uliowavutia
halaiki ya watu mapema leo.
Category:
About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!
Related posts:
If you enjoyed this article, subscribe to receive more just like it.
0 comments