Jaji mmoja mjini New York ametoa
uamuzi kuwa serikali ya Marekani haiwezi kuilazimisha kampuni ya
Teknolojia ya Apple, kupatia shirika la ujasusi la Marekani FBI uwezo wa
kufungua simu za iPhone zilizotumiwa katika visa vya mihadarati.
Serikali
ilitaka ipewe uwezo wa kufikia taarifa za simu hizo mwezi October ikiwa
ni mwezi mmoja kabla jaji wa California kuamuru Apple kusaidia kufungua
simu ya iPhone ya raia mmoja aliyeuwaua watu 14 .
Apple imesema FBI inataka mamlaka hatari na hatua ya kuvunja haki za kikatiba .
Kesi
hiyo ya California ilizua mjadala wa kitaifa nchini Marekani juu ya
uwiano kati ya usalama na haki ya mtu kuwa na mambo yake binafsi .
Category:
About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!
Related posts:
If you enjoyed this article, subscribe to receive more just like it.