MWANAJESHI WA UN AUWA WENZAKE NCHINI CHAD
Wanajeshi wa Chad wakiwa katika maombi |
Mlinda amani wa taifa la Chad
kaskazini mwa Mali amewauwa wanajshi wawili wa umoja wa
Mataifa,kulingana na shirika la habari la AFP lililonukuu duru za umoja
huo.
Mauaji hayo yanafuatia hali ya wasiwasi kuhusu mazingira ya walinda amani hao,limeongeza AFP.
Makumi ya wanajeshi linda amani wa Chad hawafurahii mazingira yao ya kazi kaskazini mwa Mali.
''Mwanajeshi huyo aliamua kwamba hangekubali vile mkuu wake alivyokuwa akizungumza naye baada ya kushtumiwa kwa makosa makubwa,''kulingana na duru hizo.
Category:
0 comments