.

.

MWANAJESHI WA UN AUWA WENZAKE NCHINI CHAD

ZePLAN | 03:15:00 | 0 comments

Wanajeshi wa Chad wakiwa katika maombi

 Mlinda amani wa taifa la Chad kaskazini mwa Mali amewauwa wanajshi wawili wa umoja wa Mataifa,kulingana na shirika la habari la AFP lililonukuu duru za umoja huo.

Anadaiwa kumuua kamanda wake pamoja na daktari.
Mauaji hayo yanafuatia hali ya wasiwasi kuhusu mazingira ya walinda amani hao,limeongeza AFP.

Makumi ya wanajeshi linda amani wa Chad hawafurahii mazingira yao ya kazi kaskazini mwa Mali.

''Mwanajeshi huyo aliamua kwamba hangekubali vile mkuu wake alivyokuwa akizungumza naye baada ya kushtumiwa kwa makosa makubwa,''kulingana na duru hizo.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments