.

.

MAJINA YA MAJERUHI WALIO KUWEPO KWENYE AJALI LEO ASUBUHI MAENEO YA TABATA MATUMBI HAYA HAPA

ZePLAN | 02:29:00 | 0 comments

Majina ya MAJERUHI  waliopata ajali leo asubuhi katiaka eneo la TABATA MATUMBI  na kukimbizwa hospitali ya AMANA yamepatikana na kuwekwa bayana ili kuweza kutambua majeruhi hao tazama hapa chini......

Majina ya majeruhi wa ajali waliofikishwa kwenye hospitali ya Amana   
 picha mbali mbali kuonyesha ajali ilivyotokea na polisi akiwa anaekeleza wajibu wake









Ajali imetokea asubuhi ya leo ikihusisha lori moja la mizigo namba za usajili (T 109 DDX ) lilikuwa limebeba ng'ombe na basi la abiria aina ya (DCM) lenye safari zake za Ubungo/ Gongolamboto idadi ya watu walio kufa bado haijajulikana,ila watu waliokuwa majeruhi hawazidi watano katika ajali hiyo na waliopakizwa walikuwa niwengi sana kwenye gari hilo ,Ajali imetokea maeneo ya Tabata Matumbi wakati DCM likiwa linaelekea ubungo. Kama unandugu jamaa au rafiki anaepita njia hiyo jaribu kufanya mawasiliano nae kujua hali yake














Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments