MTANZANIA ATEULIWA KUWANIA TUZO ZA SAYANSI AFRIKA
![](https://sig.ias.edu/sites/sig.ias.edu/files/styles/graduates__120x120_/public/aneth.jpg?itok=PrzMvY6R)
Msomi mmoja kutoka Tanzania Aneth
David Mwakilili ni miongoni mwa wasomi wengine walioteuliwa kuwania tuzo
la wanasayansi wachanga barani afrika maarufu kama The Next Einstein
Forum (NEF).
Washindi wa tuzo hiyo wanapewa ufadhili na usaidizi kutoka kwa wakfu huo ili kutekeleza utafiti wao kikamilifu.
Katika shindano hili Mwakilili, atafanya utafiti ambao utasaidia wakulimu kutokomeza kwekwe na hivyo kuimarisha mazao yao.
Category:
0 comments