.

.

NDEGE YAANGUKA NCHINI URUSI 62 WAPOTEZA MAISHA

ZePLAN | 01:13:00 | 0 comments

 
Ndege ya abiria iliyokuwa na watu 62 imeanguka ilipukuwa ikitua katika mjini ulio kusini mwa Urusi wa Rostov-on-Don.

Hakukuwa na manusura kati ya abiria 55 na wahudumu saba waliokuwa ndani ya ndege hiyo.
Ndege hiyo aina ya Boeng 737 iliyokuwa ikitoka Dubai ilimilikiwa na shirika la Flydubai.


 
Ndege ya Flydubai ilioanguka nchini Urusi
Ndege hiyo ilizunguka kwa karibu masaa mawili kabla ya kufanya jaribio la pili la kutua kufutia hali mbaya ya hewa.

Ilianguka mita mia kadha kutoka kwa barabara ya uwanja ambapo ilivunjika na kushika moto.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments