.

.

JESHI LA POLISI KITENGO CHA USALAMA BARABARANI CHAKUSANYA ZAIDI YA MILIONI 500 KAMA FAINI TAZAMA VIDEO HAPA

ZePLAN | 01:27:00 | 0 comments

 Simon Siro 
Uzembe wa Madereva wanapokuwa  barabarani umeingiza zaidi ya Milion 500 kwa Jeshi la Polisi kanda maalum kupitia kitengo cha usalama barabarani, Polisi Kanda maalum DSM kupitia kitengo cha Usalama Barabarani kimefanikiwa kukamata magari mbali mbali kwa makosa ya usalama barabarani jumla ya Tshs 577,831,000 zimekusanywa ikiwa ni tozo kwa makosa hayo.

Aidha madereva wametakiwa kuwa waangalifu pindi wawapo barabarani ili kuepuka adhabu zitolewazo na vipato hivyo viwasaidie katika maisha yao ya kila siku.

Video ya Kamanda Siro akitoa taarifa ya makosa ya usalama barabarani.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments