Hotuba ya taifa ya rais wa kenya Uhuru Kenyatta, imetatizwa kwa muda bungeni baada ya wabuge kadha wa upinzani kupuliza firimbi.
Wabunge hao walianza kupuliza firimbi na kuvuruga hotuba ya rais punde tu alipoanza kuitoa.
Mbunge akizindikizwa nje ya bungeIlimbidi spika wa bunge kuwasihi wabunge ambao walionekana kuendelea kupuliza firimbi.
Hata
hivyo utulivu ulirejea baada ya spika kuwatupa nje wabunge waliokua
wakizipuliza hizo firimbi, na rais akaendelea kutoa hotuba yake kwa
taifa.
Category:
About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!
Related posts:
If you enjoyed this article, subscribe to receive more just like it.
0 comments