.

.

ZIMBABWE KUPIGA MARUFUKU NDOA ZA UTOTONI

ZePLAN | 23:25:00 | 0 comments

 
Makamu wa rais wa taifa hilo Emmerson Mnangagwa amesema katika gazeti la serikali la Helrald wazazxi pia watapigwa marufuku kukubali mahari kabla ya mtoto wao kutimia miaka 18. 

Serikali imesema kuwa haitangojea uamuzi wa kikatiba utakaopiga marufuku ndoa za mapema miongoni mwa watoto na tayari imebaini vipengee ambavyo vinapaswa kubadilishwa alisema makamu huyo wa rais. 

Kipengee katika sheria ya ndoa kinachoruhusu ndoa za watoto baada ya idhini walindi wao ama mahakama itabadilishwa. 

Sheria hiyo ya kimila ambayo ilikuwa haizungumzi kuhusu ndoa za watoto,itabadilishwa ili kushirikisha kipengee inayopinga ndoa hizo bwana Mnangagwa aliongezea.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments