.

.

KESI YA HANI KUANZA KURINDIMA AFRIKA KUSINI

ZePLAN | 06:59:00 | 0 comments

               Chris Hani                 

Kesi ya serikali ya Afrika Kusini inayopinga kuachiliwa awali kwa muuaji wa shujaa aliyepinga ubaguzi wa rangi Chris Hani imeanza katika mahaka kuu mjini Pretoria nchini Afrika kusini.

Waziri wa sheria Michael Misutha anaamini kuwa mahakama ilifanya makosa wakati ilitoa uamuzi kuwa raia wa Poland Janusz Walus angeachiliwa huru.

Kuachiliwa kwake kulizua ghadhabu sehemu nyingi nchini Afrika Kusini, hasa wakati jaji alimuambia mkewe Hani kuendelea mbele na maisha.

Mkewe Hani aliutaja uamuzi huo kuwa huzuni kubwa kwa Afrika Kusini.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments