.

.

COLOMBIA:RAIS NCHINI HUMO ATANGAZA HALI YA TAHADHARI

ZePLAN | 04:26:00 | 0 comments

Wanaume wanaliaHaki miliki ya pichaAFP
Image captJuan Manuel Santos amesema serikali inakusanya $ milioni 13.9 zitakazosaidia kukabiliana an masuala ya kibinaadamu.
Juan Manuel Santos amesema serikali inakusanya $ milioni 13.9 zitakazosaidia kukabiliana na masuala ya kibinaadamu.Wakati huo huo mazishi ya kwanza ya wahanga 262 waliouawa katika maporomoko ya Jumamosi yamefanyika. Lakini bado jitihada za kutafuta manusura zinaendelea.
Miti imeangukaHaki miliki ya pichaEPA
Image capti
Shirika la msalaba mwekundu limeliambia shirika la habari la AFP kwamba bado wana muda katika saa 72 za kwanza baada ya mkasa na wanatumai kupata manusura. Hatahivyo matumaini yanafifia miongoni mwa wakaazi wanaotafuta jamaa zao waliosombwa katika udongo, mawe na kifusi vinavyotokana na maporomoko hayo yalioukumba mji huo uliopo kusini magharibi mapema Jumamosi.
Rais Santos ameahidi uwekezaji zaidi katika mji wa Mocoa zaidi ya ilivyokuwa awali, na kumkabidhi mamlaka waziri wa ulinzi Luis Carlos Villegas kuusimamia mji huo.
.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments