.

.

IRAQ:kiongozi wa kundi la IS auwawa

ZePLAN | 13:08:00 | 0 comments

Runinga nchini Iraq imeripoti kuwa Izzat Ibrahim
al-Douri, ambaye wakati mmoja alikuwa
makamu wa Rais Saddam Hussein na mmoja
wawaanzilishi wa kundi la Islamic State nchini
Iraq, ameuawa.bado hakuna  taarifa rasmi ya kuthibitisha
kifo chake, lakini picha na maelezo kuhusu kifo
cha Bwana Al Douri imeripotiwa pakubwa.
Iwapo taarifa hiyo ni kweli, kifo chake kitakuwa
hatua kubwa kwa serikali ya Iraq dhidi ya
makundi ya Jihadi.
Al Douri ambaye daima ana masharubu mekundu,
alikuwa mfalme katika kilabu kwenye kadi
zilizotolewa ili kusaidia majeshi ya Marekani
kutawambua wanachama katika utawala wa
Saddam Hussein, mnamo mwaka 2003

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments