KIONGOZI WA SHAMBULIO LA UGAIDI PARIS
Picha juu Abdelhamid Abbaoud mtuhumiwa namba moja wa ugaidi
Taarifa zilizobainika kuwa imebaini kwamba fursa ya
kumkamata mtuhumiwa mkuu wa shambulio la mwezi uliopita mjini Paris,
nchini Ufaransa huenda imepotezwa. Imethibitishwa kwamba, kulikuwa na
jitihada za kimataifa za kumkamata Abdelhamid Abbaoud mjini Athens,
mnamo mwezi January.
Taarifa zinazidi kusema kwamba kushindwa kumkamata mtuhumiwa huyo kumeibua maswali kuhusu kiwango cha ushirikiano kilichopo kati ya mamlaka za usalama katika nchi mbali mbali za umoja wa ulaya.
Watu 130 waliopigwa risasi walipoteza maisha katika shambulio hilo.
Category:
0 comments