.

.

AGUERO KUIHAMA MANCHESTA CITY

ZePLAN | 02:38:00 | 0 comments

Image result for AGUERO
Mshambuliaji wa kilabu ya Manchester City Sergio Aguero amesema kuwa atakihama kilabu hicho wakati kandarasi yake itakapokamilika.
Image result for AGUERO

Rais huyo wa Argentina ana kandarasi ya miaka mitano na uwanja wa Etihad atakamilisha kandarasi yake katika msimu wa 2018-19.
Image result for AGUERO
Ameifungia City mabao 128 tangu aliposajiliwa na kilabu hiyo kutoka Atletico Madrid kwa kitita cha pauni milioni 38 mwaka 2011,na kushinda ubingwa wa ligi ya Uingereza mara mbili.

Aguero mwenye umri wa miaka 27 alikiambia kituo kimoja cha redio nchini Argentina kwamba ni wazi atarudi katika kilabu yake ya kwanza ya Independente na kustaafu.

''Hapa City wanajua ni nini ninacho taka kufanya,wanajua nataka kurudi Argentina'',aliongezea.

Category:

About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!

0 comments