Home �
� MJENGO WA HITLER KUMILIKIWA NA SERIKALI YA AUSRIA
ZePLAN |
16:14:00 |
0
comments
Serikali ya Austria imesema kuwa
inanuia kutwaa umiliki wa nyumba ambayo Adolf Hitler alizaliwa, ili
kuizuia nyumba hiyo kuwa kituo maalum cha watu wanaounga mkono utawala
wa kinazi.
Msemaji wa wizara ya usalama wa ndani amesema uamuzi
huo umechukuliwa baada ya miaka kadhaa ya majadiliano ya jinsi ya kuzuia
hisia zinazokuza utawala wa kinazi.
Kiongozi huyo wa zamani wa Ujerumani alizaliwa katika nyumba hiyo iliyoko Braunau mwezi Aprili mwaka wa 1889.
Serikali
ya nchi hiyo ilikodi nyumba hiyo kutoka kwa mmiliki wake tangu mwaka wa
72 na imekuwa ikitumika kama kituo cha kuwahudumia watu walemavu.
Category:
About GalleryBloggerTemplates.com:
GalleryBloggerTemplates.com is Free Blogger Templates Gallery. We provide Blogger templates for free. You can find about tutorials, blogger hacks, SEO optimization, tips and tricks here!
0 comments