YAYA TOURE AKATAA KITITA CHA DOLA ZA KIMAREKANI 459,000 KWA WIKI
Toure amekuwa muhimili muhimu tokea alipojiunga na city 2010 |
Kiungo wa kati wa timu ya Manchester City Yaya Toure amepiga chini ofa ya dola za kimarekani 459,000 kwa wiki iliyotangazwa na China.
Ameamua kupingana huku mkataba wa mchezaji huyo wa Ivory Coast ukitarajiwa kuisha majira ya joto.
Mustakabali wa Toure ulionekana kuwa njia baada ya kuachwa nje ya kikosi tokea mwanzo wa msimu.
Mwanzoni mwa msimu Toure ambaye amekuwa injini ya city aliwekwa benchi na kocha Guardiola |
Toure amekuwa huru kusaini mkataba mpya na timu yoyote kutoka nje ya Uingereza lakini anakiri kuwa ana furaha kuendelea kubaki EPL.
Baada tu ya kurejea Toure alifunga magoli mawili muhimu dhidi ya Crystal Palace |
Category:
0 comments